Wanafunzi wa Law School wakiwa kwenye mafunzo kwa vitendo
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana akifurahia jambo na viongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) alipofanya ziara katika Taasisi.
Baadhi ya wahitimu wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) wakila kiapo cha Uwakili mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana akiwa pamoja na baadhi ya Viongozi na Wanafunzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) alipofanya ziara katika Taasisi kwa lengo la kufahamiana na Watendaji pamoja na kupata uelewa kuhusu majukumu ya Taasisi.