Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST)

lst Logo
Dira na Dhamira

Uendeshaji wa Taasisi unaongozwa na Dira na Dhima ya Taasisi.

DIRA

Dira ya Taasisi ni ''kuwa kituo chenye ubora katika utoaji wa Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Afrika.''

DHIMA

Dhima ya Taasisi ni ''kutoa huduma bora za kisheria kwa wahitimu wa sheria, taasisi za Serikali na binafsi kwa kutoa mafunzo ya uanasheria kwa vitendo, elimu endelevu, utafiti na ushauri elekezi .''

 

Online Help
Kuanzisha Enzi Mpya katika Udhibiti wa Sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini Tanzania
https://saris.lst.ac.tz/Registrations

" >