Kaimu Mkuu wa Taasisi LST, Prof. Sist Mramba (kushoto aliyevaa miwani) pamoja na Naibu Mkuu wa Taasisi Fedha Utawala na Mipango, Prof. Ambrose Kessy (kulia aliyevaa tai) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi Wanawake wa LST katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani 2024.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Wizara hiyo sambamba na Watumishi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) alipofanya ziara ya kikazi katika kampasi za Taasisi mwezi Septemba 2023 ili kupata uelewa kuhusu majukumu ya LST.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Sheria nchini (CLE), Mhe. Mustapher Siyani (aliyekaa katikati) akiwa na wajumbe wa baraza hilo pamoja na baadhi ya Watumishi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) mara baada ya kikao cha kuidhinisha mtaala mpya wa mafunzo yanayotolewa na LST. Kikao hicho kilifanyika mwezi Septemba 2023 katika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Familia Temeke jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wa Law School wakiwa kwenye mafunzo kwa vitendo
Baadhi ya wahitimu wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) wakila kiapo cha Uwakili mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania.